Karim Benzema akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 52 kwa penalti na 80 akimalizia pasi ya Gareth Bale katika ushindi wa 4-1 wa Real Madrid jana dhidi ya Girona kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Manispaa ya Montilivi mjini Girona. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Sergio Ramos kwa penalti dakika ya 39 na Bale dakika ya 59, wakati la Girona limefungwa na Borja García dakika ya 16 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kylian Mbappe tears into Rodri winning the 2024 Ballon d'Or as the French
captain speaks for the first time since Real Madrid boycotted the award
after Vinicius Jr lost out
-
The Ballon d'Or is given to the best player over the calendar year, as
voted for by journalists and publications from around the world, with
Lionel Messi w...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment