Karim Benzema akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 52 kwa penalti na 80 akimalizia pasi ya Gareth Bale katika ushindi wa 4-1 wa Real Madrid jana dhidi ya Girona kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Manispaa ya Montilivi mjini Girona. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Sergio Ramos kwa penalti dakika ya 39 na Bale dakika ya 59, wakati la Girona limefungwa na Borja García dakika ya 16 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment