Danny Welbeck akifumua shuti kuifungia Arsenal bao la tatu dakika ya mwisho katika ushindi wa 3-1 dhidi ya West Ham United Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya Gunners yamefungwa na Nacho Monreal dakika ya 30 na Issa Diop aliyejifunga dakika ya 70, wakati la WHU limefungwa na Marco Arnautovic dakika ya 25, huo ukiwa ushindi wa kwanza katika mechi ya tatu kwa kocha mpya, Mspaniola Unai Emery aliyemrithi kocha wa muda mrefu wa klabu, Mfaransa Arsene Wenger PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment