Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kusawazisha dakika ya 63, zikiwa ni sekunde 52 tangu aingie kutokea benchi kuchukua nafasi ya Curtis Jones Wekundu hao wa Anfield wakitibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Manchester City katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa MetLife mjini East Rutherford, New Jersey, Marekani. Man City walitangulia kwa bao la Leroy Sane dakika ya 57 na Liverpool ilipata bao lake la ushindi kupitia kwa mshambuliaji Msenegali, Sadio Mane aliyefunga kwa penalti baada ya Dom Solanke kuangushwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Crystal Palace 2-2 KuPS: How did the Eagles' youngsters fare, which star
took his chance AGAIN - and was Oliver Glasner right to prioritise the
Premier League?
-
WILL PICKWORTH AT SELHURST PARK: The draw meant the Eagles finished 10th in
the Conference League table, and they will now be forced into two extra
fixture...
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment