Lucas Moura akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Tottenham Hotspur dakika za 28 na 44 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Roma katika mchezo Kombe la Mabingwa wa Kimataifa Uwanja wa San Diego County Credit Union mjini San Diego, California, Marekani. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Fernando Llorente dakika za tisa na 18, wakati la kufutia machozi la Roma limefungwa na Patrik Schick dakika ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment