Alexis Sanchez akishangilia baada ya kuigungia bao la kuongoza Manchester United dakika ya 12 katika sare ya 1-1 na AC Milan kwenye mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa Uwanja wa Rose Bowl, Pasadena, California nchini Marekani. Suso aliisawazishia AC Milan dakika ya 15 kabla ya Man United kwenda kushinda kwa penalti 9-8 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment