Beki Virgil van Dijk (wa pili kushoto) akiwa juu kuifungia kwa kichwa Liverpool dakika ya 25 ikilala 3-1 mbele ya timu ya zamani ya kocha wao, Jurgent Klopp, Borussia Dortmund katika mchezo wa urafiki usiku huu Uwanja wa Bank of America mjini Charlotte, North Carolina, Marekani. Mabao ya Borussia Dortmund yamefungwa na Christian Pulisic kwa penalti dakika ya 66 na Jacob Bruun Larsen dakika ya tatu ya muda wa nyongeza baada ya kutimia dakika 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment