Pedro akishangilia baada ya kuifungia bao la kuongoza Chelsea dakika ya nane katika sare ya 1-1 na Inter Milan kabla ya kushinda kwa penalti 5-4 kwenye mchezo wa kirafiki wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa usiku huu Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice, Ufaransa. Roberto Gagliardini aliisawazishia Inter dakika ya 49 akitumia makosa ya Tiemoue Bakayoko kabla ya Cesar Azpilicueta kufunga penalti ya ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Result is not what we wanted' - games pile up for Palace
-
The games are piling up for Crystal Palace who face a two-legged play-off
in the Conference League after failing to qualify automatically for the
last 16.
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment