Mashabiki wa Yanga wakitazama mchezo baina ya timu yao dhidi ya Gor Mahia ya Kenya jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Hadi mapumziko Yanga walikuwa nyuma kwa mabao 2-0, laini mwishowe wakafungwa 3-2 katika mchezo huo wa Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika
Hawa ni mashabiki wa mahasimu wao, Simba wakiwatabiria kufungwa 3-0 mapema tu kabla ya mchezo huo kuanza
Binti mdogo (kulia) anaonekana akimsemesha jamaa ambaye 'hayupo kabisa' eneo aliloketi
Mashabiki wa Yanga kila mmoja kwa fikra na hisia zake jana
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
22 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment