Toni Kroos akikimbia kushangilia baada ya kuwafungia bao la ushindi mabingwa watetezi, Ujerumani dakika ya 90 na ushei wakiichapa Sweden 2-1 katika mchezo wa Kundi F Kombe la Dunia leo Uwanja wa Olimpiki mjini Sochi. Hiyo ni baada ya Ola Toivonen kuanza kuifungia Sweden dakika ya 32 na Marco Reus kuisawazishia Ujerumani ambayo ilimpoteza Jerome Boateng aliyetolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chris Eubank Jr to wear custom-made jacket featuring blood from his last
opponent Liam Smith for Conor Benn press conference
-
EXCLUSIVE: Chris Eubank Jr has never shied away from a bold fashion choice
- but his latest wardrobe decision takes things to an entirely new, and
chilling...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment