Toni Kroos akikimbia kushangilia baada ya kuwafungia bao la ushindi mabingwa watetezi, Ujerumani dakika ya 90 na ushei wakiichapa Sweden 2-1 katika mchezo wa Kundi F Kombe la Dunia leo Uwanja wa Olimpiki mjini Sochi. Hiyo ni baada ya Ola Toivonen kuanza kuifungia Sweden dakika ya 32 na Marco Reus kuisawazishia Ujerumani ambayo ilimpoteza Jerome Boateng aliyetolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former WSL manager Willie Kirk - who was sacked after admitting to having a
relationship with one of his players - calls for a second chance in football
-
Ex-WSL boss Willie Kirk has revealed he is seeking a second chance in
football after being sacked by Leicester last year. He was fired after
admitting to h...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment