Adnan Januzaj akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Ubelgiji bao pekee dakika ya 51 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya England kwenye mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia. Kwa matokeo hayo, Ubelgiji inamaliza katika nafasi ya kwanza kwenye Kundi G kwa pointi zake tisa, ikifuatiwa na England yenye pointi sita na zote zinafuzu hatua ya 16 Bora huku Tunisia na Panama zikiishia hapa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'So surreal' - teenager Eala stuns out-of-sorts Swiatek
-
Second seed Iga Swiatek suffers a monumental shock as Filipino teenager
Alexandra Eala continues her dream run to reach the Miami Open semi-finals.
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment