Adnan Januzaj akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Ubelgiji bao pekee dakika ya 51 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya England kwenye mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia. Kwa matokeo hayo, Ubelgiji inamaliza katika nafasi ya kwanza kwenye Kundi G kwa pointi zake tisa, ikifuatiwa na England yenye pointi sita na zote zinafuzu hatua ya 16 Bora huku Tunisia na Panama zikiishia hapa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Who is Cam Ward? Meet the NFL's newest star who went from 'overweight' and
overlooked to the 2025 No. 1 pick
-
Accompanied by his parents, Ward was the first player to hear his name
called by Roger Goodell after a tremendous end to his college career in
Miami vaulte...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment