Mshambuliaji wa Uruguay, Luis Suarez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la kwanza timu yake katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Urusi leo kwenye mchezo wa Kundi A Kombe la Dunia Uwanja wa Samara Arena. Mabao mengine ya Uruguay yamefungwa na Denis Cheryshev dakika ya 23 na Edinson Cavani dakika ya 90 na kwa matokeo hayo inamaliza kileleni kwa Kundi A ikifuatiwa na Urusi na zote zinafuzu hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Joey Barton mocked for 2015 post saying 'men who hit women are s***houses',
after being found guilty of assaulting his wife
-
Joey Barton has been mocked after an old post of his condemning domestic
violence was dragged up following his guilty verdict on Tuesday. Barton was
given ...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment