Mshambuliaji wa Stoke City, Xherdan Shaqiri akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Uswisi dakika ya 89 ikiilaza Serbia 2-1 katika mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia Uwanja wa Kaliningrad nchini Urusi. Aleksandar Mitrovic alianza kuifungia Serbia dakika ya tano kabla ya Granit Xhaka kuisawazishia Uswisi dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Out-of-sorts Swiatek stunned by teenager Eala in Miami
-
Second seed Iga Swiatek suffers a monumental shock as Filipino teenager
Alexandra Eala continues her dream run to reach the Miami Open semi-finals.
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment