// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SHAQIRI AIFUNGIA LA USHINDI USWISI IKIILAZA SERBIA 2-1 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SHAQIRI AIFUNGIA LA USHINDI USWISI IKIILAZA SERBIA 2-1 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Saturday, June 23, 2018

        SHAQIRI AIFUNGIA LA USHINDI USWISI IKIILAZA SERBIA 2-1

        Mshambuliaji wa Stoke City, Xherdan Shaqiri akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Uswisi dakika ya 89 ikiilaza Serbia 2-1 katika mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia Uwanja wa Kaliningrad nchini Urusi. Aleksandar Mitrovic alianza kuifungia Serbia dakika ya tano kabla ya Granit Xhaka kuisawazishia Uswisi dakika ya 52 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: SHAQIRI AIFUNGIA LA USHINDI USWISI IKIILAZA SERBIA 2-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry