Wachezaji wa Senegal wakishangilia bao la kwanza lililofungwa na Thiago Cionek aliyejifunga dakika ya 37 baada ya kubabatizwa na shuti la Idrissa Gana Gueye katika ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia leo Uwanja wa Otkrytiye Arena mjini Moscow, Urusi. Bao la pili la Senegal limefungwa na Mbaye Niang dakika ya 60, kabla ya Grzegorz Krychowiak kuifungia bao la kufutia machozi Poland dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ESPN cameras catch baby's gross moment live during NFL Draft
-
During what should have been one of the greatest moments of his life,
Kelvin Banks Jr had some fatherly cleanup duties on his hands amidst the
NFL Draft.
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment