Wachezaji wa Senegal wakishangilia bao la kwanza lililofungwa na Thiago Cionek aliyejifunga dakika ya 37 baada ya kubabatizwa na shuti la Idrissa Gana Gueye katika ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia leo Uwanja wa Otkrytiye Arena mjini Moscow, Urusi. Bao la pili la Senegal limefungwa na Mbaye Niang dakika ya 60, kabla ya Grzegorz Krychowiak kuifungia bao la kufutia machozi Poland dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'So surreal' - teenager Eala stuns out-of-sorts Swiatek
-
Second seed Iga Swiatek suffers a monumental shock as Filipino teenager
Alexandra Eala continues her dream run to reach the Miami Open semi-finals.
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment