Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akiwa haamini macho yake baada ya mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia wakitolewa na Uruguay kwa kufungwa Ureno 2-1 Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi leo. Ronaldo wa klabu ya Real Madrid, anaungana na hasimu wa La Liga, Lionel Messi wa Barcelona ambaye timu yake, Argentina imetolewa na Ufaransa leo pia katika mchezo uliotangulia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bacary Sagna names the Man United star who could beat Mohamed Salah to PFA
Player of the Year award despite the Red Devils' woeful campaign
-
Liverpool's out-of-contract talisman Salah is the runaway favourite, with
his 27 goals and 17 assists in the Premier League crucial to Liverpool's
dominanc...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment