// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); RONALDO NAYE AONDOSHWA MAPEMAA KOMBE LA DUNIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE RONALDO NAYE AONDOSHWA MAPEMAA KOMBE LA DUNIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Saturday, June 30, 2018

        RONALDO NAYE AONDOSHWA MAPEMAA KOMBE LA DUNIA

        Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akiwa haamini macho yake baada ya mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia wakitolewa na Uruguay kwa kufungwa Ureno 2-1 Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi leo. Ronaldo wa klabu ya Real Madrid, anaungana na hasimu wa La Liga, Lionel Messi wa Barcelona ambaye timu yake, Argentina imetolewa na Ufaransa leo pia katika mchezo uliotangulia 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: RONALDO NAYE AONDOSHWA MAPEMAA KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry