Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akiwa haamini macho yake baada ya mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia wakitolewa na Uruguay kwa kufungwa Ureno 2-1 Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi leo. Ronaldo wa klabu ya Real Madrid, anaungana na hasimu wa La Liga, Lionel Messi wa Barcelona ambaye timu yake, Argentina imetolewa na Ufaransa leo pia katika mchezo uliotangulia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rain of pain: Rainstorms pummel Delta communities mercilessly, destroy
homes, schools, vehicles
-
From Joe Obukata Ogbodu, Warri In the aftermath of a devastating rainstorm
that wreaked havoc in Delta State, families are now grappling with the loss
of...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment