Nahodha wa Peru, Paolo Guerrero aliyepambana na adhabu ya kufungiwa kwa kutumia dawa za kuongeza nguvu kwa miezi saba ili kupata nafasi ya kucheza Kombe la Dunia nchini Urusi akishangilia baada ya kuifingia timu yake bao la pili dakika ya 50 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Australia leo Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi baada ya Andre Carrillo kufunga la kwanza dakika ya 18. Pamoja na ushindi huo wa kwanza baada ya miaka 40, Peru imetolewa sambamba na Australia zikiziacha Ufaransa na Denmark zikisonga mbele hatua ya 16 Bora kutoka Kundi C PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alessia Russo inspires heroic Arsenal comeback against Real Madrid in
Women's Champions League quarter-finals - with Mikel Arteta's side looking
to repeat the trick next month
-
TARA ANSON-WALSH AT THE EMIRATES STADIUM: Russo, who has had such a
wonderful season since Renee Slegers took charge last October, pulled her
team back int...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment