Nahodha wa Peru, Paolo Guerrero aliyepambana na adhabu ya kufungiwa kwa kutumia dawa za kuongeza nguvu kwa miezi saba ili kupata nafasi ya kucheza Kombe la Dunia nchini Urusi akishangilia baada ya kuifingia timu yake bao la pili dakika ya 50 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Australia leo Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi baada ya Andre Carrillo kufunga la kwanza dakika ya 18. Pamoja na ushindi huo wa kwanza baada ya miaka 40, Peru imetolewa sambamba na Australia zikiziacha Ufaransa na Denmark zikisonga mbele hatua ya 16 Bora kutoka Kundi C PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tennis fans make cruel accusations over this stunning photo of super-fit
star Maria Sakkari
-
A tennis star with one of the most ripped physiques on the global tour has
been cruelly targeted by trolls after she continued her career resurgence
with a...
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment