Kikosi cha Pamba FC ya Mwanza mwaka 1989 chini ya kocha Muhsin Maftah (sasa marehemu, kulia waliosimama) kabla ya moja ya mechi zake Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza. Wengine waliosimama baada ya kocha Maftah ni George Masatu, Madata Lubigisa, Andrew Godwin, Kitwana Suleiman, Hussein Marsha, David Mwakalebela na James Washokera. Waliochuchumaa kutoka kulia ni Hamisi Kimbingile, Juma Amir Maftah, George Gole, Ally Bushiri, Yussuf Suleiman, Hamza Mponda, Paul Rwechungura na Nico Bambaga.
Enzo Fernandez's taunts, Raphinha humbled after pre-match threat and
wind-up merchant Emi Martinez doing keepy-uppies... how Argentina
HUMILIATED bitter rivals Brazil
-
Argentina hammered their fierce rivals Brazil on Tuesday night in a game
overflowing with bad blood, taunts and flare-ups. It secured World Cup
qualificati...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment