Kikosi cha Pamba FC ya Mwanza mwaka 1989 chini ya kocha Muhsin Maftah (sasa marehemu, kulia waliosimama) kabla ya moja ya mechi zake Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza. Wengine waliosimama baada ya kocha Maftah ni George Masatu, Madata Lubigisa, Andrew Godwin, Kitwana Suleiman, Hussein Marsha, David Mwakalebela na James Washokera. Waliochuchumaa kutoka kulia ni Hamisi Kimbingile, Juma Amir Maftah, George Gole, Ally Bushiri, Yussuf Suleiman, Hamza Mponda, Paul Rwechungura na Nico Bambaga.
Aston Villa vs Newcastle - Premier League: Live score, team news and
updates as the Magpies look to close in on a top-four finish
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest live score, team news and
updates as Newcastle travel to Villa Park to face Aston Villa in the
Champions League.
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment