Mtendaji Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wilfred Kidau (kushoto) akizungumza na Ofisa wa shirikisho hilo, Jemedari Said kabla ya fainali ya Kombe la TFF, maarufu kama Azam Sports Federation (ASFC) kati ya Mtibwa Sugar na Singida United Jumamosi Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha
Wilfred Kidau na Jemadari Said ni marafiki tangu miaka ya 1990 walipokuwa wanacheza soka
Yalikuwa mazungumzo yaliyokuja muda mfupi kabla ya mchezo kuanza
Baadaye kabla ya mechi kuanza Wilfred Kidau akaenda kuzungumza oia na Mkurugenzi wa Mtibwa Sugar, Jamal Bayser (kushoto)
Mtibwa Sugar ilifanikiwa kutwaa tajinASFC kwa ushindi wa mabao 3-2
Cristiano Ronaldo scores STUNNING volley before hitting his trademark
celebration as he inspires Al-Nassr to comeback win
-
The former Real Madrid star then struck a superb thumping volley from the
edge of the box and into the top corner to secure victory for his side on
Saturda...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment