• HABARI MPYA

        Monday, June 04, 2018

        NINI VIGOGO HAWA WA TFF WALIKUWA WANAZUNGUMZA HAPA?

        Mtendaji Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wilfred Kidau (kushoto) akizungumza na Ofisa wa shirikisho hilo, Jemedari Said kabla ya fainali ya Kombe la TFF, maarufu kama Azam Sports Federation (ASFC) kati ya Mtibwa Sugar na Singida United Jumamosi Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha
        Wilfred Kidau na Jemadari Said ni marafiki tangu miaka ya 1990 walipokuwa wanacheza soka 
        Yalikuwa mazungumzo yaliyokuja muda mfupi kabla ya mchezo kuanza 
        Baadaye kabla ya mechi kuanza Wilfred Kidau akaenda kuzungumza oia na Mkurugenzi wa Mtibwa Sugar, Jamal Bayser (kushoto)
        Mtibwa Sugar ilifanikiwa kutwaa tajinASFC kwa ushindi wa mabao 3-2 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: NINI VIGOGO HAWA WA TFF WALIKUWA WANAZUNGUMZA HAPA? Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry