Nyota wa Brazil, Neymar akimtoka kiufundi mchezaji wa Serbia katika mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia Jumatano Uwanja wa Otkrytiye Arena mjini Moskow. Brazil ilishinda 2-0, mabao ya Paulinho dakika ya 36 na Thiago Silva dakika ya 68, hivyo kufuzu hatua ya 16 Bora na itakutana na Mexico Julai 2, wakati Serbia imetolewa. Uswisi iliyotoa sare ya 2-2 na Costa Rica nayo imefuzu pia 16 Bora na itamenyana na Sweden Julai 3 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alessia Russo inspires heroic Arsenal comeback against Real Madrid in
Women's Champions League quarter-finals - with Mikel Arteta's side looking
to repeat the trick next month
-
TARA ANSON-WALSH AT THE EMIRATES STADIUM: Russo, who has had such a
wonderful season since Renee Slegers took charge last October, pulled her
team back int...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment