Winga wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva (katikati) akiwa na wachezaji wenzake wa Difaa Hassan El- Jadida juzi mjini Jadida nchini Morocco wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mechi za makundi za Ligi ya Mabingwa Afrika na kwa ujumla pamoja na msimu mpya kufuatia mapumziko ya wiki tatu. Msuva amerejea Morocco wiki hii baada ya kuwa nyumbani kwa mapumziko kwa muda wote huo
NiMET labour unions call off strike
-
By Chinelo Obogo Workers of the Nigerian Meteorological Agency (NiMET)
have called off the indefinite strike after the Federal Government’s
interventio...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment