Winga wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva (katikati) akiwa na wachezaji wenzake wa Difaa Hassan El- Jadida juzi mjini Jadida nchini Morocco wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mechi za makundi za Ligi ya Mabingwa Afrika na kwa ujumla pamoja na msimu mpya kufuatia mapumziko ya wiki tatu. Msuva amerejea Morocco wiki hii baada ya kuwa nyumbani kwa mapumziko kwa muda wote huo
Jordan Ayew thanks Ghanaians for support after back-to-back wins in 2026
World Cup Qualifiers
-
Black Stars captain Jordan Ayew has expressed his heartfelt gratitude to
Ghanaians for their unwavering support after Ghana secured crucial
victories again...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment