Mohamed Salah akiifungia Misri bao la kwanza dakika ya 22 wakifungwa mabao 2-1 na Saudi Arabia katika mchezo wa Kundi A Kombe la Dunia Uwanja wa Volgograd Arena nchini Urusi na kutolewa kwenye michuano hiyo waliyokuwa wakishiriki kwa mara ya kwanza tangu 1990. Hiyo ni baada ya kufungwa 1-0 na Uruguay Juni 15 na 3-1 na Urusi Juni 19 katika mechi zake mbili za kwanza. Mabao ya Saudi Arabia iliyopata ushindi wa kwanza Kombe la Dunia tangu mwaka 1994 yamefungwa na Salman Al Faraj kwa penalti dakika ya 45 na ushei na Salem Al Dawsari dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aaron Rodgers breaks his silence on pensive beach photos... and finally
reveals what he was listening to
-
DailyMail.com exclusively obtained photos of the free-agent quarterback
walking alone at sunset on the Pacific Coast just hours before he was
officially re...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment