Mshambuliaji wa Brazil, Neymar (katikati) akikimbia na wachezaji wenzake, Casemiro na Douglas Costa kushangilia baada ya kufunga bao la pili dakika ya saba ya muda wa nyongeza baada ya kukamilika dakika 90 za kawaida za mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia leo Uwanja wa Saint-Petersburg nchini Urusi, baada ya Philippe Coutinho kufunga la kwanza dakika ya 90 na ushei pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Enugu monarch praises US-based NGO for community support
-
Igwe Christopher Sunday Ekwo of Obeleagu Umana in Ezeagu Local Government
Area (LGA), Enugu State, has commended Adani Care Foundation for the Easter
pac...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment