Mshambuliaji Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Ubelgiji dakika za 16 na 45 na ushei katika ushindi wa 5-2 dhidi ya Tunisia leo Uwanja wa Otkrytiye Arena mjini Moscow, Urusi katika mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia. Mabao mengine ya Ubelgiji yamefungwa na Eden Hazard mawili pia, moja kwa penalti dakika ya sita na lingine na dakika ya 51 kabla ya Michy Batshuayi kufunga la tano dakika ya 90, wakati ya Tunisia yamefungwa na Dylan Bronn dakika ta 18 na Wahbi Khazri dakika ya 90 na ushei maana yake wawakilishi wa Afrika wanatolewa baada ya kufungwa mechi mbili za mwanzo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
From a Birmingham cult hero who started it all to an infamous Arsenal
failure: Mail Sport goes inside the boom or bust world of loan deals as
Aston Villa duo make big impact
-
MATT BARLOW: Good ones probably spring easily to mind because truly
impactful short-term loans are rare. Think of Jesse Lingard at West Ham
United in 2021 ...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment