Mshambuliaji Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Ubelgiji dakika za 16 na 45 na ushei katika ushindi wa 5-2 dhidi ya Tunisia leo Uwanja wa Otkrytiye Arena mjini Moscow, Urusi katika mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia. Mabao mengine ya Ubelgiji yamefungwa na Eden Hazard mawili pia, moja kwa penalti dakika ya sita na lingine na dakika ya 51 kabla ya Michy Batshuayi kufunga la tano dakika ya 90, wakati ya Tunisia yamefungwa na Dylan Bronn dakika ta 18 na Wahbi Khazri dakika ya 90 na ushei maana yake wawakilishi wa Afrika wanatolewa baada ya kufungwa mechi mbili za mwanzo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fans spot wild Shedeur Sanders error in Stephen A. Smith post saying racism
is behind NFL Draft snub
-
Smith suggested it could do with teams disliking Deion Sanders, Shedeur's
father, and said the situation also reminds him of Colin Kaepernick's
ongoing NFL...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment