Nahodha wa Argentina, Lionel Messi akiondoka kinyonge baada ya mchezo hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia leo Uwanja wa Kazan Arena, Urusi timu yake ikichapwa mabao 4-3 na Ufaransa na kutolewa. Sasa Ufaransa itakutana na mshindi kati ya Uruguay na Ureno kwenye Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Ghana youth star Gideon Mensah signs for Ljungskile SK in Sweden
-
Ghana ex-youth international Gideon Mensah's time at Varbergs BoIS has
officially come to a close as he embarks on a new adventure with Ljungskile
SK in Sw...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment