Mshambuliaji Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia England mabao matatu dakika za 22, 45 na ushei yote kwa penalti na 62 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Panama kwenye mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia leo Uwanja wa Stadion Nizhny Novgorod nchini Urusi. Mabao mengine ya England yamefungwa na John Stones dakika ya nane na 40 na Jesse Lingard dakika ya 36, wakati la Panama limefungwa na Felipe Baloy dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Enugu monarch praises US-based NGO for community support
-
Igwe Christopher Sunday Ekwo of Obeleagu Umana in Ezeagu Local Government
Area (LGA), Enugu State, has commended Adani Care Foundation for the Easter
pac...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment