Mshambuliaji Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia England mabao matatu dakika za 22, 45 na ushei yote kwa penalti na 62 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Panama kwenye mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia leo Uwanja wa Stadion Nizhny Novgorod nchini Urusi. Mabao mengine ya England yamefungwa na John Stones dakika ya nane na 40 na Jesse Lingard dakika ya 36, wakati la Panama limefungwa na Felipe Baloy dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alessia Russo inspires heroic Arsenal comeback against Real Madrid in
Women's Champions League quarter-finals - with Mikel Arteta's side looking
to repeat the trick next month
-
TARA ANSON-WALSH AT THE EMIRATES STADIUM: Russo, who has had such a
wonderful season since Renee Slegers took charge last October, pulled her
team back int...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment