Yuya Osako (katikati) akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Japan dakika ya 73 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Colombia kwenye mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia Uwanja wa Mordovia Arena mjini Saransk, Urusi. Wengine ni Yuto Nagatomo (kushoto) na Maya Yoshida. Bao la Kwanza la Japan lilifungwa na Shinji Kagawa dakika ya sita kabla ya Juan Fernando Quintero kuisawazishia Colombia dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Robin Goodfellow's racing tips: Best bets for Thursday, March 27
-
Mail Sport's racing expert Robin Goodfellow delivers his tips for
Thursday's meetings at Wolverhampton, Warwick, Southwell and Chelmsford
City.
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment