Yuya Osako (katikati) akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Japan dakika ya 73 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Colombia kwenye mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia Uwanja wa Mordovia Arena mjini Saransk, Urusi. Wengine ni Yuto Nagatomo (kushoto) na Maya Yoshida. Bao la Kwanza la Japan lilifungwa na Shinji Kagawa dakika ya sita kabla ya Juan Fernando Quintero kuisawazishia Colombia dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Glasner's FA Cup heroes give Tuchel food for thought'
-
Crystal Palace's spectacular FA Cup semi-final win over Aston Villa must
give England boss Thomas Tuchel food for thought, writes Phil McNulty.
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment