Keisuke Honda akishangilia baada ya kuifungia Japan bao la kusawazisha dakika ya 78 katika sare ya 2-2 na Senegal kwenye mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia Jumapili Uwanja wa Ekaterinburg Arena nchini Urusi. Mabao ya Senegal yalifungwa na na Sadio Mane dakika ya 11 na Moussa Wague dakika ya 71, wakati bao lingine la Japan limefungwa na Takashi Inui dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rivers’ crisis is all about protection of interests, not the populace
-Farah Dagogo
-
From Tony John, Port Harcourt Dr. Farah Dagogo was a former governorship
aspirant in the 2023 Rivers State election. He was at different times
member of ...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment