Keisuke Honda akishangilia baada ya kuifungia Japan bao la kusawazisha dakika ya 78 katika sare ya 2-2 na Senegal kwenye mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia Jumapili Uwanja wa Ekaterinburg Arena nchini Urusi. Mabao ya Senegal yalifungwa na na Sadio Mane dakika ya 11 na Moussa Wague dakika ya 71, wakati bao lingine la Japan limefungwa na Takashi Inui dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Three red cards, Jude Bellingham 'restrained' and an ICE PACK thrown at the
referee: Real Madrid implode in Copa del Rey defeat by Barcelona - and
Antonio Rudiger faces probe after meltdown
-
Real Madrid defender Antonio Rudiger is facing a lengthy ban for his
actions during Los Blancos ' dramatic Copa Del Rey final defeat by
Barcelona .
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment