Mchezaji mpya wa Liverpool, Naby Keita akikabidhiwa jezi namba nane (8) na gwiji wa klabu, Steven Gerrard ambaye alikuwa anavaa jezi hiyo kabla ya kuhamia LA Galaxy ya Marekani Mei 2015. Keita anatarajiwa kutambulishwa rasmi wiki ijayobaada ya makubaliano ya awali ya kusajiliwa kutoka RB Leipzig PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Robin Goodfellow's racing tips: Best bets for Thursday, March 27
-
Mail Sport's racing expert Robin Goodfellow delivers his tips for
Thursday's meetings at Wolverhampton, Warwick, Southwell and Chelmsford
City.
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment