Mchezaji mpya wa Liverpool, Naby Keita akikabidhiwa jezi namba nane (8) na gwiji wa klabu, Steven Gerrard ambaye alikuwa anavaa jezi hiyo kabla ya kuhamia LA Galaxy ya Marekani Mei 2015. Keita anatarajiwa kutambulishwa rasmi wiki ijayobaada ya makubaliano ya awali ya kusajiliwa kutoka RB Leipzig PICHA ZAIDI GONGA HAPA
5th columnists fuelling Plateau killings –Emir of Wase
-
From Jude Owuamanam, Jos Emir of Wase, Alhaji Mohammadu Sambo Haruna, has
accused those he described as insiders fuelling the killings in Plateau
State. ...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment