Mshambuliaji Radamel Falcao wa Colombia akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 70 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Poland Jumapili kwenye mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia mjini Kazan, Urusi. Mabao mengine ya Colombia yamefungwa na Yerry Mina dakika ya 40 na Juan Cuadrado dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wantaway Wests Tigers star breaks silence on 'big couple of weeks' as
youngster receives surprising reception on NRL return
-
The five-eighth returned to feature for Benji Marshall's side this weekend
as he proved a pivotal cog in the Wests Tigers' two-point victory against
Cronul...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment