Mshambuliaji Radamel Falcao wa Colombia akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 70 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Poland Jumapili kwenye mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia mjini Kazan, Urusi. Mabao mengine ya Colombia yamefungwa na Yerry Mina dakika ya 40 na Juan Cuadrado dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brazil 'resume talks to appoint Carlo Ancelotti for the 2026 World Cup'...
as Ronaldo Nazario reveals how close the five-time World Cup winners came
to hiring the Italian in 2023
-
The Brazilian football federation has renewed their interest in Carlo
Ancelotti and would like the Italian to be in charge for the 2026 World
Cup, a report...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment