Javier Hernandez akishangilia baada ya kuifungia Mexico bao la ushindi dakika ya 66 ikiilaza Korea Kusini 2-1 katika mchezo wa Kundi F Kombe la Dunia leo Uwanja wa Rostov Arena nchini Urusi. Hiyo ni baada ya Carlos Vela kuanza kuifungia Mexico dakika ya 26 na kabla ya Son Heung-Min kuifungia Korea Kusini bao la kufutia machozi dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Robin Goodfellow's racing tips: Best bets for Thursday, March 27
-
Mail Sport's racing expert Robin Goodfellow delivers his tips for
Thursday's meetings at Wolverhampton, Warwick, Southwell and Chelmsford
City.
55 minutes ago
0 comments:
Post a Comment