Javier Hernandez akishangilia baada ya kuifungia Mexico bao la ushindi dakika ya 66 ikiilaza Korea Kusini 2-1 katika mchezo wa Kundi F Kombe la Dunia leo Uwanja wa Rostov Arena nchini Urusi. Hiyo ni baada ya Carlos Vela kuanza kuifungia Mexico dakika ya 26 na kabla ya Son Heung-Min kuifungia Korea Kusini bao la kufutia machozi dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rabbitohs great Nathan Merritt allegedly caught drink driving in Sydney at
more than three times over the legal limit
-
South Sydney Rabbitohs legend Nathan Merritt spent the night locked up
after allegedly being caught drink-driving in Sydney's inner west.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment