Mshambuliaji Edinson Cavani akishangilia baada ya kuifungia mabao yote Uruguay dakika za saba (7) na 62 ikiilaza Ureno 2-1 Ureno katika hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia leo Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi, Urusi na sasa itakutana na Ufaransa katika Robo Fainali. Bao la Ureno lilifungwa na Pepe dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'So surreal' - teenager Eala stuns out-of-sorts Swiatek
-
Second seed Iga Swiatek suffers a monumental shock as Filipino teenager
Alexandra Eala continues her dream run to reach the Miami Open semi-finals.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment