Iago Aspas akiifungia bao la kusawazisha Hispania dakika ya 90 na ushei katika sare ya 2-2 na Morocco kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Dunia Uwanja wa Kaliningrad, Urusi. Bao lingine la Hispania limefungwa na Isco dakika ya 19, wakati mabao ya Morocco yamefungwa na Khalid Boutaib dakika ya 14 na Youssef En-Nesyri dakika ya 81. Hispania imemaliza kileleni mwa Kundi B kwa pointi zake tano sawa na Ureno na zote zinakwenda 16 Bora PICHA ZAIDIGONGA HAPA
Chris Eubank Jr to wear custom-made jacket featuring blood from his last
opponent Liam Smith for Conor Benn press conference
-
EXCLUSIVE: Chris Eubank Jr has never shied away from a bold fashion choice
- but his latest wardrobe decision takes things to an entirely new, and
chilling...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment