Lionel Messi akiwa haamini macho yake baada ya Argentina kuchapwa 3-0 na Croatia katika mchezo wa Kundi D Kombe la Dunia Alhamisi Uwanja wa Nizhny Novgorod nchini Urusi, mabao ya Ante Rebic dakika ya 53, Luka Modric dakika ya 80 na Ivan Rakitic dakika ya 90 na ushei. Mechi ya kwanza Argentina ilitoa sare 1-1 na Iceland na sasa watalazimiak kuifunga Nigeria katika mchezo wa mwisho Juni 26 kuangalia uwezekano wa kwenda Raundi ya Pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former WSL manager Willie Kirk - who was sacked after admitting to having a
relationship with one of his players - calls for a second chance in football
-
Ex-WSL boss Willie Kirk has revealed he is seeking a second chance in
football after being sacked by Leicester last year. He was fired after
admitting to h...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment