Lionel Messi akiwa haamini macho yake baada ya Argentina kuchapwa 3-0 na Croatia katika mchezo wa Kundi D Kombe la Dunia Alhamisi Uwanja wa Nizhny Novgorod nchini Urusi, mabao ya Ante Rebic dakika ya 53, Luka Modric dakika ya 80 na Ivan Rakitic dakika ya 90 na ushei. Mechi ya kwanza Argentina ilitoa sare 1-1 na Iceland na sasa watalazimiak kuifunga Nigeria katika mchezo wa mwisho Juni 26 kuangalia uwezekano wa kwenda Raundi ya Pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Insecurity: NGF sets up committee to collaborate with security agencies
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja The Nigeria Governors’ Forum (NGF) has
formed a sub-committee to work with security agency heads to tackle
Nigeria’s r...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment