Ahmed Musa akishangilia baada ya kuifungia Nigeria mabao yote dakika za 49 na 75 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Iceland kwenye mchezo wa Kundi D Kombe la Dunia leo Uwanja wa Volgograd Arena nchini Urusi, kabla ya Gylfi Sigurdsson kukosa penalti dakika ya 83 na kuikosesha timu yake japo bao la kufutia machozi. Nigeria sasa itakutana na Argentina katika mchezo mkali wa mwisho wa Kundi D Jumanne ijayo kuwania kusonga mbele PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool fan BURNS Trent Alexander-Arnold shirt in shocking protest
against star nearing Real Madrid move
-
On Tuesday, Mail Sport reported that Los Blancos remain confident of
signing Alexander-Arnold this summer - with sources in Spain suggesting the
move is 'a...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment