
Saturday, June 30, 2018

Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akiwa haamini macho yake baada ya mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia wakitolewa na Uru...
CAVANI AIPELEKA URUGUAY ROBO FAINALI KOMBE LA DUNIA
Saturday, June 30, 2018
Mshambuliaji Edinson Cavani akishangilia baada ya kuifungia mabao yote Uruguay dakika za saba (7) na 62 ikiilaza Ureno 2-1 Ureno katika h...
KWAHERI MESSI, UFARANSA YASUBIRI MSHINDI KATI YA URUGUAY NA URENO
Saturday, June 30, 2018
Nahodha wa Argentina, Lionel Messi akiondoka kinyonge baada ya mchezo hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia leo Uwanja wa Kazan Arena, Urusi...
MBAPPE SHUJAA WA UFARANSA IKIITOA ARGENTINA KOMBE LA DUNIA
Saturday, June 30, 2018
Wachezaji wa Ufaransa wakimpongeza mwenzao, Kylian Mbappe aliyefunga mabao mawili dakika ya 64 na 68 katika ushindi wa 4-3 dhidi ya Argen...
SALAMBA AFUNGA MABAO MAWILI SIMBA SC IKIWATANDIKA 4-0 WASOMALI KOMBE LA KAGAME
Saturday, June 30, 2018
Na Sada Salmin, DAR ES SALAAM TIMU za Tanzania Bara zimeendelea kufanya vizuri katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati ma...
Friday, June 29, 2018
SINGIDA UNITED YAIFUNGA APR MABAO 2-1 KATIKA KOMBE LA KAGAME USIKU TAIFA
Friday, June 29, 2018
Na Sada Salmin, DARES SALAAM MUDA mfupi baada ya Azam FC kushinda mechi yake ya kwanza ya Kombe la Kagame, Singida United timu nyingine ya...
AZAM FC YAANZA VYEMA KOMBE LA KAGAME, YAICHAPA KATOR FC 2-1 MABAO YOTE KAFUNGA SHAABAN IDD CHILUNDA
Friday, June 29, 2018
Na Sada Salmin, DAR ES SALAAM MABINGWA watetezi wa Kombe la Kagame, Azam FC wameanza vizuri harakati za kutetea ubingwa wao baada ya jioni...
RONALDO ALIVYO TAYARI KWA KAZI NA URUGUAY KESHO
Friday, June 29, 2018
Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akiwa mwenye kujiamini wakati wa mazoezi ya Ureno leo kuelekea mchezo wa hatua ya 16 Bora Komb...
SERIKALI YAENDELEA NA UKARABATI WA VIWANJA KUELEKEA FAINALI ZA AFCON U17 MWAKANI
Friday, June 29, 2018
Na Mwandishi Wetu, DODOMA SERIKALI kwa kushirikiana na wadau mbalimbali inaendelea na maandalizi yanakayohusisha ukarabati wa miundombinu ...
LIPULI YAWAONGEZEA MIKATABA NYOTA WAKE WANNE KUELEKEA MSIMU UJAO
Friday, June 29, 2018
Na Mwandishi Wetu, IRINGA TIMU ya Lipuli ya Iringa imewasainisha mikataba mipya wachezaji wake wanne ili kuwaweka mbali na klabu zinazowat...
ROONEY ATAMBULISHWA DC UNITED NA KUKABIDHIWA JEZI NAMBA 9
Friday, June 29, 2018
Na Mahmoud Zubeiry, WASHINGTON HATIMAYE mshambuliaji wa zamani wa kimataifa wa England, Wayne Rooney ametambulishwa katika klabu yake mpya...
16 BORA ZA KOMBE LA DUNIA 2018 NI MOTO MKALI
Friday, June 29, 2018
Na Mwandishi Wetu, MOSCOW HATUA ya 16 Bora ya Kombe la Dunia inaanza Jumamosi kwa mchezo mkali kati ya Ufaransa na Argentina mjini Kazan, ...
UBELGIJI YAICHAPA ENGLAND 1-0 LAKINI ZOTE ZAFUZU 16 BORA
Friday, June 29, 2018
Adnan Januzaj akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Ubelgiji bao pekee dakika ya 51 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya England kwenye mche...
Thursday, June 28, 2018
COLOMBIA YAITUPA NJE SENEGAL KOMBE LA DUNIA, AFRIKA...
Thursday, June 28, 2018
Beki wa Colombia, Yerry Mina akipiga magoti kushangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi timu yake dakika ya 74 ikiilaza 1-0 Seneg...
ROONEY AJA WASHINGTON KUSAINI MKATABA NA DC UNITED
Thursday, June 28, 2018
Na Mahmoud Zubeiry, WASHINGTON MSHAMBULIAJI wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney anatarajiwa kuwasili mjini Washington leo kusaini...
YONDAN AANZA KUJIANDAA NA MAISHA BAADA YA SOKA, AFUNGUA DUKA LA VIATU INSTA
Thursday, June 28, 2018
Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM BEKI mkongwe wa kimataifa wa Tanzania, Kelvin Patrick Yondan ameanza kujiandaa na maisha baada ya soka ku...
SIMBA YAWATAMBULISHA RASMI WAWA, KAGERE NA DIDA
Thursday, June 28, 2018
Na Sada Salmin, DAR ES SALAAM MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo wamewatambulisha wachezaji wake watatu wapya ambao watawatumia...
MICHUANO YA KOMBE LA KAGAME KUANZA RASMI KESHO
Thursday, June 28, 2018
Na Rehema Lucas, DAR ES SALAAM MICHUANO ya soka ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame itafunguliwa rasmi kesho Ijumaa...
NEYMAR ANG'ARA BRAZIL IKISONGA MBELE KOMBE LA DUNIA
Thursday, June 28, 2018
Nyota wa Brazil, Neymar akimtoka kiufundi mchezaji wa Serbia katika mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia Jumatano Uwanja wa Otkrytiye Arena m...
Wednesday, June 27, 2018
DIDA HUYOO SIMBA TENA LICHA YA TAARIFA ZA KUREJEA YANGA
Wednesday, June 27, 2018
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba, Hajji Manara ameposti picha hii akiwa na kipa wa zamani wa Yanga, Deogratius Munishi ...
MSHAMBULIAJI WA IVORY COAST, WILFRIED BONY WA SWANSEA CITY ATUA DAR KUWEKEZA KATIKA SANAA
Wednesday, June 27, 2018
Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM MCHEZAJI Wilfried Bony wa Klabu ya Swansea City ya England yupo nchini kwa ziara fupi ambapo amesema anat...
KOREA KUSINI YAIVUA UJERUMANI UBINGWA WA DUNIA
Wednesday, June 27, 2018
UJERUMANI imevuliwa ubingwa wa dunia baada ya kufungwa mabao 2-0 na Korea Kusini leo katika mchezo wa Kundi F Kombe la Dunia Uwanja wa Kaza...
DAKADAHA YA SOMALIA, PORTS YA DJIBOUTI NA KATOR YA SUDAN KUSINI ZATUA DAR KWA KOMBE LA KAGAME
Wednesday, June 27, 2018
Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM TIMU za soka za Dakadaha ya Somalia, Ports ya Djibouti na Kator FC ya Sudani Kusini zimekuwa timu za kwan...
MWANAFUNZI WA DARASA LA TANO JAMILLAH OMARY ANG'ARA UMITASHUMTA MWANZA
Wednesday, June 27, 2018
Na Masau Bwire, MWANZA BINTI Jamillah Omary, mwanafunzi wa darasa la tano, shule ya msingi Mbezi-Ndumbwi, Dar es Salaam, mchezaji wa soka ...
SAMPAOLI ALIMUOMBA RUHUSA MESSI KUMUINGIZA AGUERO
Wednesday, June 27, 2018
KOCHA wa Argentina, Jorge Sampaoli jana alimuomba ruhusa Nahodha, Lionel Messi kumuingiza mshambuliaji Sergio Aguero dakika za mwishoni kat...
BANDA APANIA KUONGEZA BIDII BAROKA FC AFANYE MAKUBWA ZAIDI AFRIKA KUSINI MSIMU UJAO
Wednesday, June 27, 2018
Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM BEKI wa kimataifa nchini, Abdi Hassan Banda amesema kwamba wachezaji wamekubaliana kuongeza bidii msimu u...
KOCHA MBEYA CITY KUSAJILI WAKALI WATANO KUTOKA BURUNDI KUIMARISHA KIKOSI TIMU ITISHE MSIMU UJAO
Wednesday, June 27, 2018
Na Sada Salmin, DAR ES SALAAM KOCHA Mkuu wa Mbeya City, Ramadhani Nsanzurwimo amesema kwamba yupo katika mchakato wa kuangalia wachezaji a...
GERRARD AMKABIDHI KEITA JEZI NAMBA 8 LIVERPOOL
Wednesday, June 27, 2018
Mchezaji mpya wa Liverpool, Naby Keita akikabidhiwa jezi namba nane (8) na gwiji wa klabu, Steven Gerrard ambaye alikuwa anavaa jezi hiyo...
CROATIA YAMALIZA MECHI ZA MAKUNDI KWA USHINDI ASILIMIA 100
Wednesday, June 27, 2018
Ivan Perisic akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Croatia dakika ya 90 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Iceland kwenye mchezo wa Kun...
Tuesday, June 26, 2018
ROJO AIPELEKA ARGENTINA 16 BORA, KUIVAA UFARANSA
Tuesday, June 26, 2018
Beki Marcos Rojo akikimbia kushangilia kishujaa huku amedandiwa mgongoni na Nahodha wake, Lionel Messi baada ya kuifungia Argentina bao l...
UFARANSA NA DENMARK ZAENDA 16 BORA KOMBE LA DUNIA
Tuesday, June 26, 2018
Mshambuliaji wa Ufaransa, Olivier Grioud akipambana kuwania mpira wa juu na beki wa Denmark, Simon Thorup Kjaer katika mchezo wa Kundi C ...
Subscribe to:
Posts (Atom)