Nyota wa Manchester City, Bernando Silva wa Ureno akikabiliana na mchezaji wa Tunisia wakati wa mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Munispaa ya Braga kujiandaa na Fainali za Kombe la Dunia mwezi ujao nchini Urusi timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Ureno walitangulia kwa mabao ya Andre Silva dakika ya 22 na Joao Mario dakika ya 34, kabla ya Tunisia kusawazisha kupitia kwa Anice Badri dakika ya 39 na Fakhreddine Ben Youssef dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Frank Lampard makes shock admission about his second stint as Chelsea boss
as he opens up on the state he found the club in under its current ownership
-
The Blues were struggling in the early days of their new ownership
following Todd Boehly and BlueCo's takeover of the club in spring 2022 -
purchasing it f...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment