Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu peke yake Argentina dakika za 17 kwa penalti, 58 na 66 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Haiti usiku wa kuamkia leo kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa kujiandaa na Fainali za Kombe la Dunia mwezi ujao Urusi. Bao lingine la Argentina limefungwa na Sergio Aguero dakika ya 69 Uwanja wa Alberto Jose Armando mjini Buenos Aires PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FA Cup Draw Live: Latest news and updates as Premier League sides wait to
learn their semi-final opponents
-
Follow Mail Sport's live blog of the FA Cup semi-final round draw as the
clubs edge closer and closer to a day out at Wembley.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment