Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu peke yake Argentina dakika za 17 kwa penalti, 58 na 66 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Haiti usiku wa kuamkia leo kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa kujiandaa na Fainali za Kombe la Dunia mwezi ujao Urusi. Bao lingine la Argentina limefungwa na Sergio Aguero dakika ya 69 Uwanja wa Alberto Jose Armando mjini Buenos Aires PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment