Mashabiki wa Yanga wakifuatilia kwa huzuni mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana dhidi ya Azam FC, timu yao ikichapwa 3-1 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Hawa jamaa ndiyo hoi kabisa wakiishuhudia timu yao ikilambwa 3-1
Hapa kuna viongozi na wapenzi wa Azam FC wakifuatilia kwa furaha mchezo wa jana
Akina dada hawa ni sehemu ya mashabiki waliojitokeza uwanjani jana
Wengine hawa nao wakifuatilia mchezo jana kwa raha zao
Crystal Palace 2-2 KuPS: How did the Eagles' youngsters fare, which star
took his chance AGAIN - and was Oliver Glasner right to prioritise the
Premier League?
-
WILL PICKWORTH AT SELHURST PARK: The draw meant the Eagles finished 10th in
the Conference League table, and they will now be forced into two extra
fixture...
28 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment