Mashabiki wa Yanga wakifuatilia kwa huzuni mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana dhidi ya Azam FC, timu yao ikichapwa 3-1 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Hawa jamaa ndiyo hoi kabisa wakiishuhudia timu yao ikilambwa 3-1
Hapa kuna viongozi na wapenzi wa Azam FC wakifuatilia kwa furaha mchezo wa jana
Akina dada hawa ni sehemu ya mashabiki waliojitokeza uwanjani jana
Wengine hawa nao wakifuatilia mchezo jana kwa raha zao
Frank Lampard makes shock admission about his second stint as Chelsea boss
as he opens up on the state he found the club in under its current ownership
-
The Blues were struggling in the early days of their new ownership
following Todd Boehly and BlueCo's takeover of the club in spring 2022 -
purchasing it f...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment