// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MAREFA WA LEO WALIVYOWAUDHI NA KUWASONONESHA WAPENZI WA YANGA MECHI NA RUVU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMAREFA WA LEO WALIVYOWAUDHI NA KUWASONONESHA WAPENZI WA YANGA MECHI NA RUVU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MAREFA WA LEO WALIVYOWAUDHI NA KUWASONONESHA WAPENZI WA YANGA MECHI NA RUVU
Shabiki wa Yanga akipiga kelele kwa hisia na jazba kali dhidi ya marefa wa mchezo wa leo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya timu yao na Ruvu Shooting FC ya Pwani uliomalizika kwa sare ya 2-2 Uwanja wa Uhuru, zamani Taifa mjini Dar es Salaam
Mashabiki wengine hawa wakiwaporomoshea maneno makali marefa
Na akina baba nao hawakuwa nyuma katika vita hiyo. Jamaa wa kulia naye kakunja ngumi
Bwana mkubwa huyu na wanawawe aliishia kustaajabu tu
Akina mama hawa kama wamemwagiwa maji
Mashabiki wengine wakiwashambulia kwa maneno marefa
Kushoto kwa masikitiko makubwa amejifunika kanga na wa kulia akajifunika kofia asione maudhi ya refa, huku shoga yao katikati 'akirusha povu'
Katikati mwanamama huyu akiwachamba marefa huku akinababa wakiangalia tu kwa hasira
Ilikuwa huzuni leo kwa mashabiki wa Yanga leo uwanja wa Uhuru
Lakini kwa mashabiki wachache wa mahasimu wao, Simba SC waliojitokeza uwanjani hapo ilikuwa furaha namna hii
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment