Mshambuliaji wa Nice, Mario Balotelli (kushoto) akishangilia kibabe baada ya kufunga baola kwanza dakika ya 21 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Saudi Arabia kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Kybunpark mjini St. Gallen hiyo ikiwa mechi yake ya kwanza kuchezea The Azzurri tangu baada ya Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2014 nchini Brazil. Bao la pili la timu ya Roberto Mancini lilifungwa na Andrea Belotti dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment