Ander Herrera akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 62 ikiilaza 2-1 Tottenham Hotspur katika Nusu Fainali ya Kombe la FA England leo Uwanja wa Wembley, London. Spurs ilitangulia kwa bao la Dele Alli dakika ya 11, kabla ya Alexis Sanchez kuisawazishia Man United dakika ya 24. Timu hiyo ya kocha Mreno, Jose Mourinho itakutana na mshindi wa Nusu Fainali ya pili kesho kati ya Chelsea na Southampton PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: The BRUTAL cut that sent Chris Eubank Jr to hospital after
claiming victory in his bloody grudge match against rival Conor Benn
-
Eubank Jr was on the receiving end of a series of devastating blows and
sustained a nasty cut above his right eye which required the 35-year-old to
be admi...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment