Ander Herrera akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 62 ikiilaza 2-1 Tottenham Hotspur katika Nusu Fainali ya Kombe la FA England leo Uwanja wa Wembley, London. Spurs ilitangulia kwa bao la Dele Alli dakika ya 11, kabla ya Alexis Sanchez kuisawazishia Man United dakika ya 24. Timu hiyo ya kocha Mreno, Jose Mourinho itakutana na mshindi wa Nusu Fainali ya pili kesho kati ya Chelsea na Southampton PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Customs confiscates 34,470 liters of smuggled petrol and truck in Taraba
-
By Sylvanus Viashima, Jalingo The Operation Whirlwind unit of the Nigeria
Customs Service (NCS) in an intensified fight against fuel smuggling, has
smash...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment