Mshambuliaji Mmisri, Mohamed Salah akifuua shuti jirani na lango la Stoke City lakini likaenda juu katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo Uwanja wa Anfield timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Danny Ings pia alifunga bao ambao lilikataliwa akiambiwa alikuwa anezidi na Liverpool wakalalamikia kunyimwa penalti baada ya Erik Pieters kushika kwa mkono mpira wa krosi ya Georginio Wijnaldum PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: The 'rematch date' for Chris Eubank Jr vs Conor Benn - as Saudi
boxing chief lifts the lid on plans after thrilling grudge match
-
The rivalry between Eubank Jr and Benn is set to continue after Saudi
Arabia chief Turki Al-Sheikh revealed plans are already underway for a
rematch.
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment