Wachezaji wa PSG wakishangilia baada ya ushindi wa 7-1 dhidi ya Monaco jana Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris uliowahakikishia taji la ubingwa wa Ligi Kuu ya Ufaransa, maarufu kama Ligue 1. Mabao ya Monaco jana yalifungwa na Giovani Lo Celso, Angel Di Maria kila mmoja mawili, Edinson Cavani, Radamel Falcao aliyejifunga na Julian Draxler, wakati la Monaco lilifungwa na Rony Lopes PICHA ZAIDI GONGA HAPA
OSPRE boosts early warning systems in Anambra, Benue, Katsina, and Plateau
-
From Abdulrazaq Mungadi, Gombe The Office for Strategic Preparedness and
Resilience (OSPRE) has launched the Safety, Peace, and Resilience in
Communities...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment