Mshambuliaji Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 46 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Southampton kwenye Nusu Fainali ya Kombe la FA jana Uwanja wa Wembley, London. Bao la pili lilifungwa na Alvaro Morata dakika ya 82 na sasa The Blues itakutana na Manchester United Mei 19 katika fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The issues at Real Madrid - and the scenes at Anfield - which COULD have
Trent Alexander-Arnold reconsidering his Liverpool future, writes LEWIS
STEELE
-
LEWIS STEELE: These are the days, my friends. Those were the words of one
gentleman who was standing ambitiously on top of a bus stop with a red
flare in h...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment