Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao matatu peke yake dakika za 38, 82 na 85 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Deportivo La Coruna kwenye mchezo wa La Liga usiku wa Jumapili Uwanja wa Manispaa ya Riazor. Bao la kwanza la Barca ambayo kwa ushindi huo inajihakikishia taji la 25 la La Liga lilifungwa na Philippe Coutinho dakika ya saba, wakati mabao ya Deportivo La Coruna yamefungwa na Lucas Perez dakika ya 40 na Emre Colak dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chris Eubank Jr's weight cut has turned this fight on its head - from
physicality to temperament, here's where the Conor Benn clash will be won
or lost, writes JOHNNY NELSON
-
Boxing legend JOHNNY NELSON has provided Mail Sport with his ultimate guide
for the fight, taking a look at the strengths and weaknesses of each boxer
and ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment