Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao matatu peke yake dakika za 38, 82 na 85 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Deportivo La Coruna kwenye mchezo wa La Liga usiku wa Jumapili Uwanja wa Manispaa ya Riazor. Bao la kwanza la Barca ambayo kwa ushindi huo inajihakikishia taji la 25 la La Liga lilifungwa na Philippe Coutinho dakika ya saba, wakati mabao ya Deportivo La Coruna yamefungwa na Lucas Perez dakika ya 40 na Emre Colak dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arne Slot sends message over Virgil van Dijk's Liverpool future - after the
club captain announced he has 'no idea' where he will play next season
-
LEWIS STEELE: The Dutch defender was pushed on his Liverpool deal, which
expires at the end of this season, and insisted his short-term future was
still no...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment