Winga wa zamani wa Newcastle United, Florian Thauvin akishangilia baada ya kuifungia Olympique Marseille bao la kwanza dakika ya 15 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Salzburg kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya kwanza ya UEFA ya Europa League leo Uwanja wa Stade Vélodrome mjin Marseille. Bao la pili la Marseille limefungwa na Clinton N'Jie dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Forget Mo Salah - this is why I'm voting for Bruno Fernandes as Player of
the Season, writes IAN LADYMAN
-
IAN LADYMAN: The winner of the football writers' Player of the Season award
tends to come from teams who win the league. This has been the case in
seven of...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment