David Silva na Raheem Sterling wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Silva alifunga dakika ya 12 na Sterling dakika ya 16, wakati mabao mengine yamefungwa na Kevin De Bruyne dakika ya 54, Bernardo Silva dakika ya 64 na Gabriel Jesus dakika ya 88 baada ya kukosa penalty dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Customs confiscates 34,470 liters of smuggled petrol and truck in Taraba
-
By Sylvanus Viashima, Jalingo The Operation Whirlwind unit of the Nigeria
Customs Service (NCS) in an intensified fight against fuel smuggling, has
smash...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment