Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za 23 kwa penalti na 35 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya CSKA Moscow kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya The Gunners yamefungwa na Aaron Ramsey (kulia) dakika ya tisa na 28, wakati la CSKA Moscow limefungwa na Aleksandr Golovin dakika ya 15 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool 1-2 Newcastle: Magpies end 70-YEAR wait for domestic silverware
with stunning Carabao Cup triumph after goals from Alexander Isak and Dan
Burn at Wembley
-
OLIVER HOLT AT WEMBLEY: Some wept. Tears of unbridled joy. Some flung their
hands to the skies, thinking perhaps of loved ones long gone who would have
giv...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment