Mshambuliaji Mfaransa, Alexandre Lacazette akinyoosha vidole juu kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Arsenal dakika za 85 na 89 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya West Ham United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Nacho Monreal dakika ya 51 na Aaron Ramsey dakika ya 82, wakati la West Ham limefungwa na Marko Arnautovic dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eni Aluko blames Joey Barton for her dramatic drop in TV punditry work
after he called her a 'race card player' - and says she had to go out in
disguise when he set online trolls on her
-
Eniola Aluko, who made 105 appearances for the Lionesses, is suing the
former Manchester City and Newcastle midfielder Joey Barton for libel over
two posts...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment