Mshambuliaji Mfaransa, Alexandre Lacazette akinyoosha vidole juu kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Arsenal dakika za 85 na 89 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya West Ham United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Nacho Monreal dakika ya 51 na Aaron Ramsey dakika ya 82, wakati la West Ham limefungwa na Marko Arnautovic dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arne Slot sends message over Virgil van Dijk's Liverpool future - after the
club captain announced he has 'no idea' where he will play next season
-
LEWIS STEELE: The Dutch defender was pushed on his Liverpool deal, which
expires at the end of this season, and insisted his short-term future was
still no...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment