Marouane Fellaini akishangilia kishujaa baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester United dakika ya 90 na ushei kufuatia kutokea benchi dakika ya 64 kuchukua nafasi ya Jesse Lingard ikiilaza Arsenal 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa leo Uwanja wa Old Trafford. Paul Pogba alianza kuifungia Man United dakika ya 16 kabla ya Henrikh Mkhitaryan kuisawazishia Arsenal dakika ya 51 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ex-Chelsea star reveals he has been dealing with hair loss for 'many years'
as he shows off transformation after looking unrecognisable in new photo
that went viral
-
During his time in England, he was known for his long, curly locks, with
some fans even wearing wigs in the crowd to show support for his unique
haircut.
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment