Isco akipiga shuti la mpira wa adhabu kuipatia bao la kwanza Real Madrid dakika ya 29 katika ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa La Liga dhidi ya wenyeji, Malaga Uwanja wa La Rosaleda usiku wa jana. Bao la pili la Real Madrid iliyomkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo jana, lilifungwa na Casemiro dakika ya 63 wakati la Malaga lilifungwa na Diego Rolandakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jason Day: 'Gutted' Aussie golfer who was in the box seat to challenge Rory
McIlroy at the Masters pinpoints where it all went wrong
-
Jason Day finished tied for eighth at the Masters, delivering his best
result at the tournament in six years, but was left frustrated after missed
putts an...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment